Friday, 23 January 2015

IDRIS WA BBA AZAWADIWA BONGE LA NYUMBA NA BOS WAKE

  Friday, 23 January 2015

IDRIS WA BBA AZAWADIWA BONGE LA NYUMBA NA BOS WAKE

Ama kweli mwenye nacho ndio huongezewa,... Mshindi wa BBA 2014 kutoka Tanzania, Idris Sultan ambae kwa sasa anamiliki dola za kimarekani lakini 3 alizoshinda kupitia BBA.

 kijuzi
Idriss amekabidhiwa mjengo unaouona hapo juu na boss wake ambae pia ni mmiliki wa kampuni ya ALOSCO "Ghalib"
Mjengo huo upo maeneo ya Mbenzi Beach na Idris yupo tayarai kwa ajili ya kuhamia weekend hii (Jumapili)
http://kijuzi.blogspot.com

No comments:

Post a Comment