Monday, 21 September 2015

Tyga matatani na malimbukizi ya kodi, makosa ya kuvunja mkataba & wizi…!!





Hiko sio kitu pekee ambacho Jimbo la Carlifonia linataka kutoka kwa rapper huyo, mwezi uliopita Mahakama ilimuamuru Tyga kumlipa mwenye nyumba wa nyumba aliokuwa anaishi kodi ya nyumba ya miezi miwili ambacho kiasi chake kiligonga Milion 140 kwa pesa ya Kitanzania.
tyga6
Muonekano wa ndani wa duka la Tyga ‘Last Kings’.
Mengine ambayo Jimbo hilo linashitaki dhidi ya Rapper huyo wa Cash Money Records ni kesi ya kuvunja mkataba wake na moja ya club ya Las Vegas, mkataba ulikuwa wa dola 100,000 na ulikuwa unasema kwamba Tyga hatokuwa na mamlaka ya kuperfom sehemu yoyote ile Las Vegas isipokuwa club ya ‘Body English’ jijini humo, Tyga alivunja mkataba huo ambao kwa shilingi ya Kitanzania tunazungumzia makubaliano yaliozidi Milion 200 kwa kwenda kutoa show kwenye club nyingine jijini Las Vegas!

No comments:

Post a Comment